Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 20:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Muvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta lakini hatapata kitu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 20:4
14 Referans Kwoze  

Uvivu unasababisha umasikini, lakini mukono wa mutu wa bidii unajitajirisha.


Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.


Muvivu anatamani lakini hapati kitu chochote, wakati mwenye bidii anajaliwa kwa wingi.


lakini kumbuka kwamba unapokuwa katika usingizi, umasikini utakufikia kama munyanganyi, ukosefu kama mutu mwenye silaha.


Muvivu anatia mukono wake katika sahani lakini hauinui mpaka kwenye midomo.


Ewe muvivu! Kwenda kuchunguza siafu, fikiri juu ya namna yake ya kuishi upate hekima.


Mafikiri ya mutu ndani ya moyo wake ni kama kilindi cha maji; lakini mutu mwenye akili anajua kuyachota mule.


Muvivu anakufa kwa kutokutimizwa kwa tamaa zake, maana mikono yake haitaki kufanya kazi.


Anayechunguza upepo hatapanda mbegu, anayeangalia mawingu yatoweke, hatavuna kitu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite