Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 20:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Ni jambo la heshima kuepuka ugomvi; wapumbafu ndio wanaogombana.

Gade chapit la Kopi




Mezali 20:3
17 Referans Kwoze  

Asiyekuwa mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwenye nguvu. Anayetawala nafsi yake ni bora kuliko anayetaka muji.


Kuanzisha ugomvi ni kama kufungua maji ya kisima; achana na ugomvi mbele haujafurika.


Lakini mutendeane wema ninyi kwa ninyi; musameheane kama Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.


Mwenye akili hakasiriki upesi; kusamehe makosa ni utukufu kwake.


Mutu asiyekuwa mwepesi wa hasira ana akili nyingi, lakini anayekasirika upesi anaongeza upumbafu.


Magombano na ugomvi vinavyokuwa kati yenu vinatoka wapi? Si vinatoka katika tamaa zenu zinazopigana ndani ya miili yenu?


Maneno ya mupumbafu yanaleta ugomvi; kila neno analosema linasababisha azabu.


Lakini mukiwa na wivu wenye kuchangana na uchungu katika mioyo yenu pamoja na roho ya ugomvi, musijivune wala musigeuze maneno ya kweli kuwa uongo.


Mwenye kiburi na majivuno jina lake ni “Mazarau”; anatenda kwa kujivuna tu.


Mwenye kuwaka hasira haraka anatenda kipumbafu, lakini mwenye akili ana uvumilivu.


Lakini Yoasi mufalme wa Israeli akamupelekea Amazia mufalme wa Israeli ujumbe, akisema: “Siku moja muti wa mubaruti wa Lebanoni uliuambia muti wa mwerezi wa kule Lebanoni: ‘Umwoeshe binti yako kwa mwana wangu.’ Lakini nyama wa pori akapita pale na kuukanyagakanyaga mubaruti ule.


Basi, kukatokea ugomvi kati ya wachungaji wa Abramu na wachungaji wa Loti. Wakati ule, Wakanana na Waperizi ndio waliokuwa wenyeji wa inchi hiyo.


Basi, Abramu akamwambia Loti: “Kusikuwe ugomvi kati yetu wala kati ya wachungaji wako na wachungaji wangu, kwa sababu sisi ni jamaa moja.


Anayejiingiza katika ugomvi usiomwelekea, ni kama mutu anayeshika masikio ya imbwa anayepita.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite