Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 20:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kasirani kali ya mufalme ni kama simba anayenguruma; anayemukasirikisha anahatarisha maisha yake.

Gade chapit la Kopi




Mezali 20:2
10 Referans Kwoze  

Kasirani ya mufalme ni kama ngurumo ya simba, lakini upendo wake ni kama umande juu ya majani.


Mutawala akikukasirikia, usiache kazi; makosa makubwa yanaweza kufutwa ukiwa munyenyekevu.


Asiyenipata anajizuru mwenyewe; wote wanaonichukia wanapenda kifo.”


Hapo mufalme Solomono akaapa kwa jina la Yawe, akisema: “Mungu aniue ikiwa Adonia hatakufa kwa sababu ya kutoa ombi hili!


Watanifuata mimi Yawe ninayenguruma kama simba; nitakaponguruma watanifikia toka magaribi wakitetemeka.


Lakini kwa mipango yako umefezehesha jamaa lako. Kwa kuyaangamiza mataifa mengi, umeyaangamiza maisha yako mwenyewe.


Simba akinguruma, ni nani asiyeogopa? Bwana wetu Yawe akisema, ni nani atakataa kuutangaza ujumbe wake?


Sasa basi, kama vile Yawe anavyoishi, yule aliyeniweka na kuniimarisha katika ufalme wa baba yangu Daudi na kutimiza ahadi yake ya kunipa kiti cha kifalme mimi na wazao wangu, Adonia atakufa leo!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite