16 Mutu akiahidi kumukopesha mutu asiyejulikana, unyanganye nguo yake kuwa rehani.
Mutu akiahidi mbele yako kubeba muzigo wa mutu mwingine, unyanganye nguo yake; utwae rehani kwake maana amebeba muzigo wa mutu mwingine.
Anayejitoa kulipia mugeni deni yake atajuta, lakini anayechukia mapatano yale ana usalama.
Kahaba ni kama shimo refu; mwanamuke mugeni ni kama kisima chembamba.
Kijana akakutana na yule mwanamuke; alivaa kama kahaba, mwenye ukorofi.
Vitakulinda mbali na mwanamuke mubaya, vitakuepusha na maneno matamu ya mwanamuke mugeni.
Midomo ya mwanamuke mupotovu ni mitamu kama asali, maneno yake ni laini kuliko mafuta;
Utaepukana na mwanamuke mwasherati, mwanamuke kahaba wa maneno matamu,
Mwana wangu, kama umejitolea kubeba deni ya mwenzako, ikiwa umetoa ahadi yako kwa ajili ya mutu yule,
Kuna zahabu na wingi wa mawe ya bei kali; lakini kitu cha bei kali zaidi ni maneno ya maarifa!
Chakula kinachopatikana kwa udanganyifu ni kitamu, lakini nyuma kinakuwa kama muchanga ndani ya kinywa.