Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 20:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Sikio linalosikia na jicho linaloona, vyote viwili vimefanywa na Yawe.

Gade chapit la Kopi




Mezali 20:12
9 Referans Kwoze  

Aliyefanya sikio, yeye hawezi kusikia? Aliyeumba jicho, yeye hawezi kuona?


Uyafungue macho yangu, nipate kuona maajabu ya sheria yako.


Halafu Yawe akamwuliza: “Ni nani aliyeumba kinywa cha mutu? Ni nani anayemufanya mutu kuwa bubu au kiziwi? Aone au akuwe kipofu? Si mimi Yawe?


kusudi ufungue macho yao, ukiwaongoza watoke katika giza na kuwaingiza katika mwangaza. Watatoka chini ya uwezo wa Shetani na kumugeukia Mungu, kusudi kwa njia ya kuniamini wapate kusamehewa zambi zao na kupewa urizi pamoja na watu wake watakatifu.’


Onyo la mwenye hekima kwa mutu musikilivu ni bora kuliko pete au ushanga wa zahabu safi.


Siku hiyo viziwi watasikia ujumbe ukisomwa katika kitabu na kutoka katika giza, vipofu wataanza kuona.


Kama mwili wote ungekuwa jicho, namna gani ungeweza kusikia? Na kama ungekuwa sikio, namna gani ungeweza kunusa?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite