Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 2:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Ukinisikiliza, utafahamu haki, usawa, na kufuata sheria ya Mungu; utafahamu kila njia nzuri.

Gade chapit la Kopi




Mezali 2:9
16 Referans Kwoze  

Yawe anasema hivi: Musimame katika masanganjia, muangalie. Muulize juu ya matukio ya zamani. Mutafute pahali panapokuwa njia nzuri muifuate, nanyi mutaweza kupumzika. Lakini wao wakasema: Hatutafuata njia hiyo.


Yawe, Mutakatifu wa Israeli, Mukombozi wako, anasema hivi: Mimi ndiye Yawe, Mungu wako; ninayekufundisha kwa faida yako na kukuongoza katika njia unayotakiwa kwenda.


Yesu akamujibu: “Mimi ni njia, ukweli na uzima. Mutu hawezi kufika kwa Baba asipopitia kwangu.


Ninaelewa kuliko walimu wangu wote, kwa sababu ninafikiri juu ya maagizo yako.


Mungu anasema: “Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayofuata. Nitakushauria kwa uangalifu mukubwa.


Humo kutakuwa barabara kubwa, nayo itaitwa Njia Takatifu. Watu wachafu hawatapitia humo, lakini wale watu wa Mungu tu; wapumbafu hawatakanyaga ndani yake,


Neno lako ni taa ya kuniongoza, na mwangaza katika njia yangu.


Njia ya wenye haki ni kama mwangaza wa asubui mapema, ambao unaangaza zaidi na zaidi hata muchana kamili.


Ninatembea katika njia ya haki; ninafuata sheria ya Mungu.


Waovu hawaelewi haki ya sheria, lakini wanaomwogopa Yawe wanaielewa kabisa.


Kila mutu anayemwabudu Yawe, Yawe atamufundisha njia ya kufuata.


Ukitembea hatua zako hazitazuizwa, wala ukikimbia hautajikwaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite