Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 ukitafuta hekima kama feza, na kuitaka kama hazina iliyofichwa,

Gade chapit la Kopi




Mezali 2:4
20 Referans Kwoze  

“Ufalme wa mbinguni unafanana na mali iliyofichwa katika shamba moja. Mutu mumoja alipoiona, akaificha tena. Halafu kwa furaha kubwa akaenda kuuzisha vitu vyake vyote na kununua lile shamba.


Na kila mutu aliyeacha nyumba yake, kaka, dada, baba, mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara nyingi zaidi na kupewa uzima wa milele.


Kupata hekima ni bora kuliko zahabu; kupata akili ni chaguo bora kuliko feza.


anayetamani kifo lakini hakufi, anayetafuta kifo kuliko hazina iliyofichwa.


Basi bwana wa yule mulinzi akamusifu kwa sababu alitenda kwa werevu. Kwa maana watu wa dunia hii wanatengeneza maneno yao na wenzao kwa werevu sana kuliko watu wanaopenda kuishi katika mwangaza.”


Nilimwona mutu mumoja anayekuwa peke yake, hana mwana wala ndugu. Hata hivyo, haachi kutoa jasho. Hatosheki hata kidogo na mali yake wala hatulii na kujiuliza: “Ninatoa jasho kwa ajili ya nani na kujizuiza kuwa na raha?” Hayo nayo ni bure. Ni shuguli inayosikitisha.


Nunua ukweli, wala usiuuzishe; nunua hekima, mafundisho na akili.


Kweli, ninapenda amri zako, kuliko hata zahabu safi kabisa.


Sheria uliyoweka ni bora kwangu, kuliko mali zote za dunia.


Ninafurahi kufuata maagizo yako, kuliko kuwa na utajiri mwingi.


Kumutii Yawe ni jambo jema; kunadumu milele. Maagizo ya Yawe ni sawa, yote ni ya haki kabisa.


ukiomba upewe akili, ukisihi upewe ufahamu,


Ninawapenda wale wanaonipenda; wanaonitafuta kwa bidii wananipata.


Siku ileile watumishi wa Isaka walimufikia na kumupasha habari za kile kisima walichokuwa wamechimba, wakasema: “Tumepata maji!”


Jambo la musingi ni kujipatia hekima; toa vyote unavyokuwa navyo ujipatie akili.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite