Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 2:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Maana watu wa usawa watarizi inchi, na watu wakamilifu watadumu ndani yake.

Gade chapit la Kopi




Mezali 2:21
12 Referans Kwoze  

Watu wa haki watarizi inchi, nao wataishi humo milele.


Watu wanaotenda mabaya wataangamizwa, lakini wanaomutumainia Yawe watarizi inchi.


Wenye haki hawataondolewa katika inchi hata kidogo, lakini waovu hawatakaa katika inchi.


Siku moja tu ndani ya hekalu lako, ni bora kuliko siku elfu pahali pengine; afazali kubakia kwa mulango wa nyumba yako, kuliko kuishi ndani ya nyumba ya waovu.


Katika miaka ya Yobu iliyofuata, Yawe alimubariki zaidi kuliko hata alivyokuwa amemubariki pale mbele. Basi Yobu akakuwa na kondoo elfu kumi na ine, ngamia elfu sita, ngombe elfu mbili na punda dike elfu moja.


Waliobarikiwa na Yawe watarizi inchi, lakini waliolaaniwa naye wataongolewa.


Lakini wapole watarizi inchi, hao wataifurahia amani kamili.


Umutumainie Yawe na kutenda mazuri, upate kuishi katika inchi na kuwa salama.


Kulikuwa mutu mumoja katika inchi ya Usi, aliyeitwa Yobu. Mutu yule alikuwa mukamilifu, wa usawa, mwenye kumwogopa Mungu na mwenye kuepukana na uovu.


Anayepotosha mutu wa usawa katika njia mbaya, ataanguka katika shimo lake mwenyewe. Wakamilifu watarizi mazuri.


Yawe anatunza maisha ya watu wakamilifu, na urizi wao utadumu milele.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite