Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 2:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Yeyote anayemwendea harudi hata kidogo, wala harudilii tena njia ya uzima.

Gade chapit la Kopi




Mezali 2:19
11 Referans Kwoze  

Jambo moja nililotambua linalokuwa baya zaidi kuliko kifo, ni mwanamuke ambaye moyo wake ni mutego na wavu, na mikono yake ni kama minyororo. Lakini anayemupendeza Mungu anamwepuka mwanamuke yule, lakini mwenye zambi ananaswa naye.


“Lakini watu wangu hawakunisikiliza; Israeli hakunitaka kabisa.


Lakini sitawaazibu wabinti zenu wanapofanya uzinzi, wala bibi-arusi wenu wanapofanya uasherati, maana, wanaume wenyewe ndio wanaofuatana na wazinzi, na kutambikia pamoja nao katika ibada za uzinzi. Watu hawa wenye kukosa akili hakika wataangamia!


Basi kuna mambo mawili, ahadi na kiapo, yasiyoweza kubadilika, na kuelekea hayo, Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hivi, sisi tuliomukimbilia tunatiwa moyo sana na kushika kwa nguvu tumaini tulilowekewa.


Mwetiopia anaweza kubadilisha rangi yake, au chui madoadoa yake? Nanyi muliozoea kufanya mabaya, munaweza namna gani kutenda mema?


Njia ya wenye haki ni kama mwangaza wa asubui mapema, ambao unaangaza zaidi na zaidi hata muchana kamili.


Unanionyesha njia ya kufikia uzima. Kuwa mbele yako ni kujazwa furaha, kuwa kwa kuume kwako kunapendeza milele.


Yeye haijali njia ya uzima, njia zake ni za kutangatanga, wala hajui.


Kwa mwisho wa maisha yako utaomboleza, wakati mwili wako utakapoangamizwa.


Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite