Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Utaepukana na mwanamuke mwasherati, mwanamuke kahaba wa maneno matamu,

Gade chapit la Kopi




Mezali 2:16
11 Referans Kwoze  

Jambo moja nililotambua linalokuwa baya zaidi kuliko kifo, ni mwanamuke ambaye moyo wake ni mutego na wavu, na mikono yake ni kama minyororo. Lakini anayemupendeza Mungu anamwepuka mwanamuke yule, lakini mwenye zambi ananaswa naye.


Kahaba ni kama shimo refu; mwanamuke mugeni ni kama kisima chembamba.


Kinywa cha mwasherati ni shimo refu; anayechukiwa na Yawe atatumbukia ndani yake.


Yatakulinda mbali na mwanamuke mubaya, yatakuepusha na maneno matamu ya mwanamuke mugeni.


Mwenye kumubembeleza jirani yake, anatega mutego wa kujinasa mwenyewe.


Lakini aliendelea kulia katika muda wao wote wa siku saba za sherehe za arusi. Siku ya saba Samusoni akamwambia muke wake kile kitendawili kwa sababu alimwuzi sana. Muke wake akaenda haraka akawaambia watu wake.


Anayesema uongo anachukia wale anaowaumiza, naye anayebembeleza analeta maangamizi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite