Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 2:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 watu wanaofurahia kutenda maovu na kupendezwa na upotovu wa maovu,

Gade chapit la Kopi




Mezali 2:14
10 Referans Kwoze  

Kwa mupumbafu, kutenda maovu ni kama muchezo, lakini watu wenye akili wanafurahia hekima.


Nao wanajua kwamba Sheria ya Mungu inasema kwamba watu wanaotenda maneno haya wanastahili kufa. Lakini hata hivi wanaendelea, si kuyafanya tu, lakini kukubaliana na wale wanaoyatenda.


Yawe anasema: Watu wangu wapendwa wana haki gani ya kuingia ndani ya hekalu langu ikiwa wametenda maovu? Wanazani kwamba viapo vyao na sadaka zao wanazonitolea zitawakingia hasara ile.


Upendo haufurahii ubaya, lakini unafurahia ukweli.


Siku hiyo, hautapata haya kutokana na matendo yako ya kuniasi, maana nitawaondoa kati yako wale wanaojivuna na kujitukuza, nawe hautakuwa na kiburi tena kwenye mulima wangu mutakatifu.


Wanamufurahisha mufalme, lakini ni waovu; wanawafurahisha wakubwa, lakini ni wanafiki.


Wakaldea wanawavua watu kwa ndoana, wanawakokotea inje kwa nyavu zao, wanawakusanya wote katika wavu wao, kisha wanafurahi na kushangilia.


Mutu mwovu anatamani kutenda uovu; hata kwa jirani yake hana huruma.


Waovu hawalali hata kidogo wasipotenda uovu; hawapati usingizi wasipomukwaza mutu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite