11 Hekima itakulinda, ufahamu utakuchunga;
Usimwache hekima, nayo itakutunza; umupende, nayo itakulinda.
Muangalie vizuri mwenendo wenu. Musiishi kama wajinga lakini muishi kama wenye hekima.
Ukamilifu na usawa vinanikinga, maana ninakutumainia wewe.
Nguvu nyingi zaidi zinahitajika kwa mutumiaji wa shoka lisilonolewa, lakini kutumia hekima kunamufanya mutu afanikiwe.
Zitawaerevusha wajinga, zitawapa vijana maarifa na akili.