Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 2:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Maana hekima itaingia ndani ya moyo wako, na maarifa yatapendeza nafsi yako.

Gade chapit la Kopi




Mezali 2:10
15 Referans Kwoze  

Palepale maneno yako yaliponifikia, niliyameza; nayo yakanifurahisha, yakakuwa matamu katika moyo wangu, maana mimi ninajulikana kwa jina lako, ee Yawe wa majeshi.


Habari za Kristo zikae ndani yenu kwa uwingi. Mufundishane na mushauriane kwa hekima. Mumwimbie Mungu kwa moyo wenu wote na kumushukuru kwa zaburi na nyimbo za kiroho.


Sijaacha hata kidogo kushika amri yake; maneno yake nimeyatunza ndani ya moyo wangu.


Ninafurahi kwa sababu ya neno lako, kama mutu aliyekuta kitu cha bei kali.


Upendezwe na hayo mashairi yangu, ee Yawe, maana wewe ndiye furaha yangu.


Kumutii Yawe ni jambo jema; kunadumu milele. Maagizo ya Yawe ni sawa, yote ni ya haki kabisa.


Maagizo yako ni urizi mukubwa kwangu milele; hayo ni furaha ya moyo wangu.


Hekima iko ndani ya moyo wa mutu mwenye akili, lakini haipatikani hata kidogo ndani ya moyo wa mupumbafu.


Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Ninapenda sana sheria yako! Ninafikiri juu yake muchana kutwa!


Zitawaerevusha wajinga, zitawapa vijana maarifa na akili.


Wewe utafurahi kama utayaweka ndani ya moyo, na kuyarudiliarudilia kila wakati.


Usimwache hekima, nayo itakutunza; umupende, nayo itakulinda.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite