Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 2:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mwana wangu, ukikubali maneno yangu, na kushika maagizo yangu,

Gade chapit la Kopi




Mezali 2:1
21 Referans Kwoze  

Mwana wangu, usisahau mafundisho yangu, lakini kwa moyo wako ushike amri zangu.


Zitawafundisha watu matendo ya hekima, haki, usawa, na sheria ya Mungu.


Wana wangu, musikilize maadibisho ya baba yenu, mutege sikio mupate kuwa na akili.


Mwana wangu, ushike maneno yangu, uchunge amri zangu.


uyaweke siku zote ndani ya moyo, uyafunge katika shingo lako.


Sijaacha hata kidogo kushika amri yake; maneno yake nimeyatunza ndani ya moyo wangu.


Mwana wangu, sikia na kupokea maneno yangu, kusudi upate kuwa na miaka mingi ya kuishi.


Lakini Maria akachunga mambo hayo yote ndani ya moyo na kuyafikiri sana.


“Ufalme wa mbinguni unafanana na mali iliyofichwa katika shamba moja. Mutu mumoja alipoiona, akaificha tena. Halafu kwa furaha kubwa akaenda kuuzisha vitu vyake vyote na kununua lile shamba.


Neno hili ni la kuaminiwa nalo linastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja katika dunia kwa kuokoa wenye zambi. Na mimi ni wa kwanza mwenye zambi kati yao,


“Munitegee sikio vizuri: Mwana wa Mutu atatolewa katika mikono ya watu.”


Basi Yesu akarudia Nazareti pamoja nao, akaendelea kuwatii. Na mama yake alichunga maneno haya yote katika moyo wake.


Utufundishe ufupi wa maisha yetu kusudi tuweze kuwa na hekima.


Wala haziko ngambo ya bahari, hata museme: ‘Nani atakayevuka bahari atuletee kusudi tuzisikie na kuzitii.’


Musikilize! Hekima inaita! Akili inapiga kelele yake!


Hekima amejenga nyumba yake, nyumba yenye nguzo saba.


Mutoto anayeshika sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi anafezehesha baba yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite