Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 19:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Anayejipatia hekima anapenda nafsi yake; anayeshika ufahamu atastawi.

Gade chapit la Kopi




Mezali 19:8
17 Referans Kwoze  

Anayefikiri sana juu ya neno atafanikiwa. Heri mutu yule anayemutumainia Yawe.


Hekima ni muti wa uzima kwa wote wanaoipata; wana heri wote wanaoshikamana nayo.


Usimwache hekima, nayo itakutunza; umupende, nayo itakulinda.


Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Kuna mutu anayependa kuishi vizuri, na kukaa katika siku za heri? Azuize ulimi wake na mabaya nayo midomo yake na uongo.


“Anayekubali amri zangu na kuzitii, ni yeye anayenipenda. Baba yangu atamupenda yule anayenipenda, na mimi nitamupenda vilevile na nitajitambulisha kwake.”


Wewe utafurahi kama utayaweka ndani ya moyo, na kuyarudiliarudilia kila wakati.


Kwa nini mupumbafu kuwa na feza katika mukono kwa kununua hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?


Usiyaache yatoweke mbele ya macho, uyafunge ndani ya moyo wako.


Baba yangu alinifundisha hiki: “Shika kwa moyo maneno yangu, shika amri zangu nawe utaishi.


Mwana wangu, shika hekima safi na akili; usiviache vitoweke mbele ya macho yako,


Yanatamanika kuliko zahabu, kuliko zahabu safi kabisa. Ni matamu kuliko asali, kuliko asali safi kabisa.


Anayependelea maisha yake atayapoteza, lakini asiyeyashugulikia katika dunia hii, atayachunga hata atakapopata uzima wa milele.


Nitawapa moyo mupya na kuweka roho mupya ndani yenu. Nitauondoa kwenu moyo mugumu kama jiwe na kuwapa moyo musikilivu.


Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo ataangamia.


navyo vitakuwa uzima katika nafsi yako, na pambo zuri katika shingo lako.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite