4 Mali inavuta warafiki wengi wapya, lakini masikini anaachwa na rafiki yake.
Masikini anachukiwa hata na jirani yake, lakini tajiri ana warafiki wengi.
Mali ya tajiri ndiyo kikingio chake. Umasikini wa masikini unamuletea maangamizi.
Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo hataepuka azabu.