Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 17:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Anayechekelea masikini anamutukana Muumba wake; anayefurahia hasara hatakosa kuazibiwa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 17:5
13 Referans Kwoze  

Anayemutesa muzaifu anamutukana Muumba wake, lakini anayemwonea huruma mukosefu anamutukuza Mungu.


Mutu akiwa na mali ya dunia hii naye akimwona ndugu yake katika hitaji, lakini hataki kumusikilia huruma, mutu yule anaweza kusema kwamba anamupenda Mungu?


Kila mwenye kiburi ni chukizo kwa Yawe. Hakika mutu wa namna hiyo hatakosa kuazibiwa.


Nimefurahia kuangamia kwa adui yangu, au kufurahi alipopatwa na hasara?


Anayemuzarau jirani yake ni mwenye zambi, lakini ana heri yule anayekuwa mwema kwa masikini.


Mufurahi pamoja na wenye kufurahi. Mulie pamoja na wenye kulia.


Sikukukaza kutenda mabaya, wala sikutamani ile siku ya hasara ifike. Wewe mwenyewe unajua maneno niliyosema mbele yako.


Nimekuwa mugeni kwa wandugu zangu, kaka na dada zangu hawanitambui.


Maana, kama walivyokunywa kikombe cha kasirani yangu kwenye mulima wangu mutakatifu, ndivyo mataifa jirani watakavyokunywa; watakunywa na kupepesuka, wataangamia na kuwa kama hawakukuwa mbele katika dunia.


Uwaambie Waamoni hivi: Musikilize neno la Bwana wetu Yawe: Ninyi mulifurahia kuona hekalu langu likichafuliwa, inchi ya Waisraeli ikiangamizwa na watu wa Yuda wakipelekwa katika uhamisho.


Kwa sababu ya mateso makali muliyowatendea wandugu zenu wazao wa Yakobo, mutafezeheshwa na kuangamizwa milele.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite