Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 17:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Mutenda maovu anasikiliza maneno mabaya; mwongo anategea sikio ulimi mudanganyifu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 17:4
10 Referans Kwoze  

Manabii wa uongo ni watu wa dunia, ndiyo maana wanasema mambo ya kidunia nao watu wa dunia wanawasikiliza.


Watu wanaovunja sheria wanasifu waovu, lakini wanaoshika sheria wanapingana nao.


Wanawaambia wale wanaopata maono hivi: Musipate maono. Wanawaambia manabii hivi: Musitutangazie ukweli, lakini mutuambie mambo ya kupendeza, mutoe unabii wa mambo ya udanganyifu tu.


manabii wanatabiri mambo ya uongo, nao makuhani wanatafuta faida yao wenyewe; nao watu wangu wanaona jambo hilo kuwa sawa. Lakini mwisho wake utakapofika mutafanya nini?


Mungu amenitia katika mikono ya wapotovu na kunitupa katika mikono ya waovu.


Mujinga anaamini kila kitu anachoambiwa, lakini mwenye akili anachunguza hatua zake zote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite