Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 17:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mutumwa mwenye hekima atatwaa nafasi ya mwana mupumbafu. Atapata sehemu ya urizi wa jamaa hiyo.

Gade chapit la Kopi




Mezali 17:2
9 Referans Kwoze  

Mwenye akili anakusanya wakati wa mavuno. Kulala wakati wa kuvuna ni haya.


Afazali kijana masikini mwenye hekima kuliko mufalme muzee mupumbafu, ambaye hasikilizi shauri jema,


Anayemutesa baba yake na kumufukuza mama yake ni mutoto asiyefaa na mupotovu.


Mufalme anapendezwa na mutumishi anayetenda kwa hekima, lakini hasira yake inawapata wanaotenda mambo yasiyofaa.


Azabu na maonyo vinaleta hekima, lakini mutoto aliyeachiliwa anapatisha mama yake haya.


Anayevunja nyumba yake, atavuna upepo. Mupumbafu atakuwa mutumwa wa wenye hekima.


Afazali kula mukate wenye kukauka kwa amani kuliko karamu katika nyumba ya ugomvi.


Zahabu na feza vinapimwa kwa moto, lakini Yawe ndiye anayepima mioyo ya watu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite