Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 17:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Afazali kukutana na dubu dike aliyenyanganywa watoto wake, kuliko kukutana na mupumbafu katika upumbafu wake.

Gade chapit la Kopi




Mezali 17:12
8 Referans Kwoze  

Nitawarukia kama dubu aliyenyanganywa watoto wake. Nitawararua vifua vyenu na kuwakula palepale kama simba; nitawararua vipandevipande kama nyama wa pori.


Zaidi ya hayo, Husayi akamwambia: “Wewe unajua kwamba baba yako na watu wake ni mashujaa na kwamba wamekasirikishwa kama dubu dike aliyenyanganywa watoto wake katika mbuga. Zaidi ya hayo, unajua kwamba baba yako ni bingwa wa vita. Yeye hatakaa usiku kucha pamoja na watu wake.


Herode alipoona kwamba wale watu wenye elimu wamemudanganya, akakasirika sana. Akatuma watu Betelehemu na popote kandokando yake kwa kuua watoto wote waliokuwa na umri wa miaka miwili na chini yake. Alifanya vile kufuatana na jinsi alivyohakikishwa na wale wenye elimu juu ya wakati nyota ilipotokea.


Mutawala mwovu anayetawala wamasikini ni kama simba anayenguruma au dubu anayeshambulia.


Jiwe ni zito na muchanga vilevile, lakini uchokozi wa mupumbafu ni muzito zaidi.


Elisha aligeuka, akawaangalia na kuwalaani kwa jina la Yawe. Dubu wawili wakatoka katika pori, wakawararua vijana makumi ine na wawili kati yao.


Nia ya mutu mwovu ni kuasi tu; mujumbe mubaya atatumwa juu yake.


Mwenye hekima akibishana na mupumbafu, akasirike au acheke, ni mamoja; hatatulia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite