Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 16:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Kupata hekima ni bora kuliko zahabu; kupata akili ni chaguo bora kuliko feza.

Gade chapit la Kopi




Mezali 16:16
13 Referans Kwoze  

Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake? Hakuna kitu mutu anachoweza kutoa kwa kukomboa uzima wake.


Matunda yangu ni mazuri kuliko zahabu safi, na faida yangu inashinda ya feza bora.


Kulindwa na hekima ni kama kulindwa na feza. Faida ya maarifa ni kwamba hekima inalinda maisha ya mutu anayekuwa nayo.


Jambo la musingi ni kujipatia hekima; toa vyote unavyokuwa navyo ujipatie akili.


Yesu akaongeza kusema: “Ni hivi inavyokuwa kwa yule anayejiwekea mali mengi, lakini mbele ya Mungu hahesabiwi kuwa na kitu.”


Kweli, ninapenda amri zako, kuliko hata zahabu safi kabisa.


Hekima ni bora kuliko feza, ina faida kuliko zahabu.


Ujipatie hekima, ujipatie ufahamu; usisahau wala kuzarau maneno yangu.


ukitafuta hekima kama feza, na kuitaka kama hazina iliyofichwa,


Heri mutu anayetambua hekima, mutu yule anayepata ufahamu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite