Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 16:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Ni chukizo kubwa kwa wafalme kutenda uovu, maana musingi wa mamlaka yao ni haki.

Gade chapit la Kopi




Mezali 16:12
11 Referans Kwoze  

Uwaondoe waovu mbele ya mufalme, na utawala wake utaimarika katika haki.


Lakini kwa ngambo ingine, yule asiyejua mapenzi ya bwana yake, na anayefanya mambo yanayostahili azabu, atapigwa fimbo chache. Kwa maana kila mutu aliyepewa vingi, ataombwa kutoa vingi zaidi; na aliyepewa madaraka mengi, ataulizwa mengi zaidi.


Mufalme anayewaamua wamasikini kwa haki, ataona utawala wake unaimarika milele.


Anayekataa kuisikia sheria, yule, hata maombi yake, ni chukizo kwa Mungu.


Kisha nikaona mbingu imefunguka na kukatokea farasi mweupe. Yule aliyepanda juu yake anaitwa Mwaminifu na Mwenye Ukweli, kwa maana anahukumu na kupigana vita kwa haki.


Mipango mizuri inafanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita inafaa kufikiri kwanza.


Ee mufalme mukubwa, mupenda haki, umesimamisha usawa katika Israeli; umeleta sheria na haki.


Wote wanaofanya mambo hayo, wote wanaotenda kwa udanganyifu ni chukizo kwa Yawe, Mungu wenu.


Mufalme anapendelea mutu anayesema maneno ya haki. Anamupenda mutu anayesema kwa usawa.


Yawe, akauimarisha ufalme wa Yuda katika mikono ya Yosafati, nao watu wote wakamuletea zawadi, akatajirika sana na kuheshimika.


Mufalme akifuata sheria ya Mungu, anaimarisha inchi. Lakini akipenda kituliro, taifa linaangamia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite