Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 15:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Katika nyumba ya mwenye haki kuna wingi wa mali, lakini mapato ya waovu yanaleta hasara.

Gade chapit la Kopi




Mezali 15:6
16 Referans Kwoze  

Ninawatajirisha wale wanaonipenda, ninajaza tele hazina za wanaonipenda.


Katika nyumba ya mwenye hekima kuna hazina za bei kali, lakini mupumbafu anaponda mali yake yote.


Baraka za Yawe ndizo zinazoleta utajiri. Juhudi za mutu haziongezi kitu.


Ndani ya nyumba yake kutakuwa mali nyingi; haki yake utadumu milele.


Aliona kwamba kupatishwa haya kwa ajili ya Kristo kuna faida kubwa zaidi kuliko kupata utajiri wote wa inchi ya Misri, maana alikuwa anatazamia kupokea zawadi yake.


Afazali mali kidogo kwa njia ya haki, kuliko mapato mengi kwa njia isiyofuatana na sheria ya Mungu.


Ni afazali kuwa na kidogo tu, pamoja na amani ndani ya moyo, kuliko kutoa jasho kwa ajili ya kukamata upepo.


Afazali kuwa na kidogo na kumwogopa Yawe, kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na taabu.


Mutu muzuri anawaachia wazao wake urizi, lakini mali ya mwenye zambi imelundikiwa wenye haki.


Afazali mali kidogo ya mutu wa haki kuliko utajiri mwingi wa watu waovu.


Mupumbafu anazarau mafundisho ya baba yake, lakini anayekubali maonyo ni mwenye akili.


Mudomo wa mwenye hekima unaeneza maarifa, lakini sivyo kwa mioyo ya wapumbafu.


Yawe analaani nyumba za waovu, lakini anabariki makao ya wenye haki.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite