Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 14:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Hekima ya mwenye akili inamwonyesha njia yake, lakini upumbafu wa wapumbafu unawadanganya wenyewe.

Gade chapit la Kopi




Mezali 14:8
21 Referans Kwoze  

Kwa hiyo musikuwe wajinga, lakini mutambue mapenzi ya Bwana.


Lakini watu waovu na wadanganyifu wataendelea katika maovu, wakipotosha watu wengine na kujipotosha wenyewe.


Nani anayekuwa na hekima na ufahamu kati yenu? Basi aonyeshe jambo lile kwa njia ya mwenendo wake muzuri, kwa njia ya matendo yanayofanyika katika upole unaotokana na hekima ile.


Basi munapaswa kutupilia mbali ile hali yenu ya zamani, ule utu wenu wa zamani unaopotoka kufuatana na tamaa zake za udanganyifu.


Faida mwovu anayopata ni ya uongo, lakini anayetenda mema, hakika atapata faida.


Ninatembea katika njia ya haki; ninafuata sheria ya Mungu.


Ukinisikiliza, utafahamu haki, usawa, na kufuata sheria ya Mungu; utafahamu kila njia nzuri.


Kwa mikono yako wewe mwenyewe uliniumba; unijalie akili nijifunze amri zako.


Heri mwenendo wangu ungeimarika kwa kuyafuata masharti yako!


Kumwogopa Yawe ni musingi wa hekima; wote wanaotii amri zake wanajaliwa akili. Sifa zake zinadumu milele.


Inua macho yako, ee Yerusalema! Angalia! Waadui zako wanakuja kutoka kaskazini. Kundi ulilopewa liko wapi? Kundi lako zuri liko wapi?


Kila asubui unionyeshe wema wako, maana ninakutumainia. Unifundishe mwenendo wa kufuata, maana ninakutolea moyo wangu.


Kwa maana hekima ya kidunia ni upumbafu mbele ya Mungu. Ni sawa vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Mungu anawanasa wenye hekima katika werevu wao wenyewe.”


Upumbafu ni furaha kwa mutu asiyekuwa na akili, lakini mwenye akili anachagua njia inayokuwa sawa.


Mawazo ya mwenye haki ni ya haki; mashauri ya mwovu ni ya udanganyifu.


Basi, mimi nikagundua kwamba hekima ni bora kuliko upumbafu, kama vile mwangaza unavyokuwa bora kuliko giza.


Maana hakuna anayemukumbuka mwenye hekima, wala anayemukumbuka mupumbafu, maana katika siku zinazokuja wote watasahaulika. Maana mwenye hekima anakufa sawasawa na mupumbafu!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite