Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 14:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Ondoka pahali mupumbafu anapokuwa, maana pale anapokuwa hakuna maneno ya hekima.

Gade chapit la Kopi




Mezali 14:7
8 Referans Kwoze  

Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Musishiriki katika matendo ya giza yasiyofaa, lakini muyafichue.


Lakini niliwaandikia kwamba musishirikiane na mutu anayejiita ndugu mwamini, akiwa mwasherati, mwenye tamaa, mwenye kuabudu sanamu, mutukanaji, mulevi au munyanganyi. Na zaidi ya ile musichangie chakula na mutu wa namna hii.


Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”


Mwana wangu, ukiacha kusikiliza mafundisho, mara moja utapotea mbali na maneno ya maarifa.


Mwenye mazarau anatafuta hekima naye haipati, lakini mwenye akili anapata maarifa kwepesi.


Usiseme maneno yako mbele ya mupumbafu, maana atazarau hekima ya maneno yako.


Naye Hanania akasema hivi mbele ya watu wote: Yawe anasema hivi: Mbele ya miaka miwili, hivi ndivyo nitakavyovunja nira ambayo mufalme Nebukadneza anayoibebesha mataifa yote. Kisha nabii Yeremia akajiendea.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite