Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 14:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Nyumba ya mutu mwovu itabomolewa, lakini hema ya watu wa usawa itaimarishwa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 14:11
21 Referans Kwoze  

Yawe analaani nyumba za waovu, lakini anabariki makao ya wenye haki.


Waovu wanaangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya wenye haki itasimama.


Yawe wa majeshi anasema kwamba yeye mwenyewe ataipeleka laana hiyo. Itapenya kila nyumba ya mwizi na kila nyumba ya mwenye kuapa uongo kwa kutumia jina lake; itakaa mule na kuteketeza nyumba hiyo yote, mbao na mawe.


Mwenye haki anajua yanayokuwa katika nyumba ya waovu: waovu wanaangushwa chini na kuangamia.


Ninyi munauliza: “Iko wapi nyumba ya yule mukubwa? Iko wapi nyumba mwovu alimoishi?”


Katika nyumba ya mwenye hekima kuna hazina za bei kali, lakini mupumbafu anaponda mali yake yote.


Anayetegemea mali zake ataanguka, lakini mwenye haki atastawi kama jani bichi.


Wanaegemea nyumba yao lakini haitasimama, wanaishikilia lakini haidumu.


Muke wako atakuwa kama muzabibu wenye matunda mengi; watoto wako kama vichipukizi vya muzeituni kuzunguka meza yako.


Hayo ndiyo yanayowapata wasiomujali Mungu; pale ndipo pahali pa wasiomujua Mungu.


Wote wasiomwogopa Mungu hawatapata watoto, moto utateketeza mahema ya wanaokula kituliro.


kama wewe uko safi ndani ya moyo na wa usawa, kweli Mungu atakuja kukusaidia, na kukujalia makao unayostahili.


Yawe anabomoa makao ya wenye kiburi, lakini analinda mipaka ya makao ya mujane.


Wale wanaokuchukia watapata haya, makao ya waovu yatatoweka kabisa.


Bado kidogo, mwovu atatoweka; utamutafuta pale alipokuwa, wala hautamwona.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite