9 Mwenye haki anaangaa kama vile taa inayowaka vizuri, lakini waovu ni kama taa inayozimika.
Njia ya wenye haki ni kama mwangaza wa asubui mapema, ambao unaangaza zaidi na zaidi hata muchana kamili.
maana siku mbaya zitamufikia mwovu; taa ya uzima wake itazimika.
Anayemulaani baba yake au mama yake, mwangaza wa uzima wake utazimika kama taa katika giza.
Mutu wa usawa anaangaziwa mwangaza katika giza; yeye ni mwenye huruma, rehema, na haki.
Mwangaza unamwangazia mutu wa haki, nayo furaha ni kwa watu wenye moyo wa usawa.
Wale wajinga wakawaambia wenye akili: ‘Mutusaidie na mafuta kidogo, kwa sababu taa zetu zinaanza kuzimika.’
Huyo mwana wa Solomono nitamwachia kabila moja, kusudi wakati wote mutu mumoja wa uzao wa mutumishi wangu Daudi akuwe anatawala Yerusalema, akuwe taa inayoangaza siku zote mbele yangu katika muji ambao nimeuchagua ukuwe pahali pa kuniabudia.
wakati taa yake iliponiangazia juu ya kichwa, na kwa mwangaza wake nilitembea katika giza.
Mara ngapi umepata kuona mwangaza wa maisha ya mwovu umezimishwa na kupatwa na hasara? Au Mungu amekwisha kuwaangamiza kwa hasira yake?
Halafu mufalme akawaambia watumishi wake: ‘Mumufunge mutu huyu miguu na mikono na kumutupa inje kwenye giza. Kule atalia na kusaga meno.’ ”
Ukombozi wa uzima wa mutu ni mali yake, lakini masikini hana njia ya kujikomboa.
Kiburi kinasababisha tu ugomvi, lakini kwa wanaokubali shauri jema kuna hekima.
Nitakapokuangamiza, nitazifunika mbingu, nitazifanya nyota kuwa nyeusi, jua nitalifunika kwa mawingu, na mwezi hautatoa mwangaza wake.
Kwa nini basi jina la baba yetu lifutwe katika ukoo wake kwa sababu hakukuwa na mutoto mwanaume? Utupatie urizi pamoja na wandugu za baba yetu.