Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 13:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kuwa na akili kunaleta ukubali, lakini njia ya waovu ni ya taabu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 13:15
11 Referans Kwoze  

Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.


Uovu wako utakuazibu; na uasi wako utakuhukumu. Ujue na kutambua kwamba ni vibaya sana kuacha Bwana wako Yawe, Mungu wako, na kutokuwa na woga wangu ndani yako. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe wa majeshi.–


Hivyo utakubaliwa na kusifiwa, mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu.


Kumwogopa Yawe ni musingi wa hekima; wote wanaotii amri zake wanajaliwa akili. Sifa zake zinadumu milele.


Basi mulipata faida gani kwa kufanya mambo yale munayopata haya juu yake sasa? Maana mwisho yao ni kifo!


akamwokoa toka katika taabu yote aliyopata. Mungu akamujalia neema, apate kupendwa na Mufalme wa Misri na kuonekana kuwa mwenye hekima mbele yake. Mufalme yule akamuweka kuwa musimamizi wa inchi yake na wa nyumba yake yote.


Azabu kali ni kwa wanaoacha mwenendo mwema; yeyote anayechukia kuonywa atakufa.


Na Yesu alizidi kuwa na hekima, na kuongezeka kimo na kuendelea kumupendeza Mungu na watu.


Mufalme anapendezwa na mutumishi anayetenda kwa hekima, lakini hasira yake inawapata wanaotenda mambo yasiyofaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite