9 Afazali mutu wa chini anayejitegemea kuliko yule anayejitakia makubwa na kukosa chakula.
Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”
Kuna mutu anayejidai kuwa tajiri, kumbe hana kitu. Mwengine anajiona kuwa masikini wakati ana mali tele.
‘Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao. Lakini mioyo yao ni mbali nami.
Mutu anasifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mwenye moyo wa mafikiri mabaya anazaruliwa.
Mutu mwenye haki anajali nyama wake, lakini huruma za waovu ni kutesa tu.