Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 12:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Waovu wanaangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya wenye haki itasimama.

Gade chapit la Kopi




Mezali 12:7
20 Referans Kwoze  

Hakika mwovu hataepuka kuazibiwa, lakini wenye haki wataokolewa.


Upepo mukali unapopita na mwovu anatoweka, lakini mwenye haki anaimarishwa milele.


Lakini waovu macho yao yatafifia, njia zote za kutorokea zitawapotea; tumaini lao la mwisho ni kukata roho!


Mufalme akaamuru hayo yatimizwe, na tangazo likatolewa katika muji Susani. Wana kumi wa Hamani wakatundikwa juu ya muti.


Nalo jina lako litatukuzwa milele, nao watu watasema: ‘Yawe wa majeshi ni Mungu juu ya Israeli!’ Na jamaa yangu, mimi Daudi mutumishi wako, itaimarika mbele yako.


Ukoo wako na ufalme wako vitadumu imara siku zote. Kiti chako cha kifalme kitakuwa imara milele.”


Yawe anabomoa makao ya wenye kiburi, lakini analinda mipaka ya makao ya mujane.


Nyumba ya mutu mwovu itabomolewa, lakini hema ya watu wa usawa itaimarishwa.


Mwanamuke mwenye hekima anajenga nyumba yake, lakini mupumbafu anaibomoa kwa mikono yake mwenyewe.


Bado kidogo, mwovu atatoweka; utamutafuta pale alipokuwa, wala hautamwona.


Kwa maana anayajua matendo yao yote, anawapindua usiku waangamie.


Mutu anasifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mwenye moyo wa mafikiri mabaya anazaruliwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite