Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 12:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Mutu hawezi kudumu katika kutenda maovu, lakini hakuna kitu kinachoweza kumwangusha mutu wa haki.

Gade chapit la Kopi




Mezali 12:3
13 Referans Kwoze  

Upepo mukali unapopita na mwovu anatoweka, lakini mwenye haki anaimarishwa milele.


Hivi Kristo apate kukaa ndani ya mioyo yenu kwa njia ya imani, nanyi mupate kuwa na mizizi na musingi katika upendo.


Matumaini ya waovu yanaporomoka na kuharibika, lakini mutu mwenye haki anasimama imara.


Mukuwe na mizizi ndani yake, mujijenge juu yake na kusimama imara katika imani sawa vile mulivyofundishwa. Na zaidi ya hii mukuwe wenye kushukuru sana.


Umutukuze Yawe aliyekupa hekima kwa kunizuia kuwa na kosa la umwangaji wa damu na kujilipiza kisasi mimi mwenyewe.


Mutu yule hatakuwa tajiri hata kidogo; wala utajiri wake hautadumu katika dunia.


Haki ya watu wakamilifu inanyoosha njia yao, lakini waovu wanaanguka kwa uovu wao wenyewe.


Hakuna mutu anayekuwa na uwezo wa kushikilia roho yake kusudi asikufe; hakuna mutu anayekuwa na uwezo juu ya siku ya kufa. Wakati wa vita hakuna kuponyoka, na uovu hauwezi kumwokoa mwovu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite