Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 12:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Ujinga wa mupumbafu unajulikana mara moja, lakini mwerevu anazarau matusi.

Gade chapit la Kopi




Mezali 12:16
12 Referans Kwoze  

Mupumbafu anaonyesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima anaizuia na kuituliza.


Wandugu zangu wapendwa, mukumbuke neno hili: kila mutu anapaswa kuwa mwepesi kwa kusikia, lakini asikuwe mwepesi kwa kusema na kukasirika.


Chuki inaleta ugomvi, lakini upendo unafunika makosa yote.


Anayesamehe makosa anajenga urafiki, lakini anayekumbusha makosa anatenga warafiki.


Mutu asiyeweza kuzuia hasira yake ni kama muji usiokuwa na ulinzi unaposhambuliwa.


Hekima ni chemichemi ya uzima kwa yule anayekuwa nayo, lakini upumbafu ni azabu ya wapumbafu.


Hekima iko ndani ya moyo wa mutu mwenye akili, lakini haipatikani hata kidogo ndani ya moyo wa mupumbafu.


Kweli mahangaiko yanamwua mupumbafu, na wivu unamwangamiza mujinga.


Musema kweli anatoa ushuhuda wa kweli, lakini mushuhuda wa uongo anasema udanganyifu.


Jiwe ni zito na muchanga vilevile, lakini uchokozi wa mupumbafu ni muzito zaidi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite