Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 12:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Mutu mwenye haki anajali nyama wake, lakini huruma za waovu ni kutesa tu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 12:10
13 Referans Kwoze  

“Usimufunge ngombe kinywa anapopepeta ngano.


Mutu akiwa na mali ya dunia hii naye akimwona ndugu yake katika hitaji, lakini hataki kumusikilia huruma, mutu yule anaweza kusema kwamba anamupenda Mungu?


Yule mwanamuke akamwambia: “Bwana, hauna chombo cha kutekea, na kisima ni kirefu sana. Basi umepata wapi maji ya uzima?


Adoni-Bezeki akasema: “Wafalme makumi saba waliokatwa vidole gumba vya mikono na miguu waliokota makombo chini ya meza yangu. Sasa Mungu amenilipa kama nilivyotenda.” Wakamupeleka Yerusalema, akakufia kule.


Lakini akawaambia: “Nitafanya mapatano nanyi kwa shurti hii moja: nitamwongoa kila mumoja wenu jicho lake la kuume. Hivyo nitawapatisha Waisraeli wote haya.”


Kwa maana imeandikwa hivi katika Sheria ile: “Usifunge kinywa cha ngombe anapokanyaga ngano.” Mungu anashugulikia ngombe?


Afazali mutu wa chini anayejitegemea kuliko yule anayejitakia makubwa na kukosa chakula.


mpaka nitakapokuja na kuwapeleka katika inchi kama hii yenu, inchi yenye ngano na divai, inchi yenye mukate na mashamba ya mizabibu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite