3 Ukamilifu wa watu wa usawa unawaongoza. Upotovu wa wadanganyifu unawaangamiza.
Haki inalinda wenye mwenendo sawa, lakini zambi inaangusha waovu.
Mwenye mwenendo mukamilifu ataponyeshwa, lakini munafiki wa njia mbili ataanguka mara moja.
Mutu akijiangamiza kwa upumbafu wake, anaielekeza hasira yake kwa Yawe.
Zaburi ya Daudi. Ee Yawe, unitetee, maana nimeishi katika ukamilifu, nimekutumainia wewe bila kusita.
Ukamilifu na usawa vinanikinga, maana ninakutumainia wewe.
Kama mutu akitaka kufanya mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho yangu yanatoka kwa Mungu, au kama ninasema kwa mamlaka yangu mwenyewe.
Lakini vilevile, usikuwe mwovu sana wala usikuwe mupumbafu! Kwa nini kufa mbele ya wakati wako?
Haki ya watu wakamilifu inanyoosha njia yao, lakini waovu wanaanguka kwa uovu wao wenyewe.
Lakini waasi na wenye zambi wote wataangamizwa pamoja; wanaomwacha Yawe watateketezwa.
Ukali wa waovu utawaangamiza, maana wanakataa kutenda mambo ya haki.
Lakini waovu wataondolewa katika inchi, na watu wabaya watangolewa toka ndani yake.
Yawe analinda maarifa lakini anayavuruga maneno ya waovu.
Kati ya watu hao waliouawa, kulikuwa wafalme watano wa Midiani: Ewi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile wakamwua Balamu mwana wa Beori.