Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 11:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Mutu anayetoa kwa moyo safi atafanikishwa. Mutu anayekunywesha mwingine maji, naye atakunyweshwa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 11:25
13 Referans Kwoze  

Heri wale wanaokuwa na huruma, maana Mungu atawahurumia!


Lakini wenye heshima wanatenda mambo ya heshima, nao wanatetea mambo yenye heshima.


Anayesaidia wamasikini hatakosewa kitu, lakini anayekataa kuwaangalia atalaaniwa kwa wingi.


Umuheshimu Yawe kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote.


Kwa hiyo gala zako zitajaa ngano, na mitungi yako itafurika na divai mupya.


Kuna watu wanaotoa mali yao kwa wingi na kuzidi; lakini wachoyo wanazilinda na kuendelea katika umasikini.


Muchoyo anachochea magomvi, lakini anayetegemea Yawe atafanikiwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite