Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kiburi kinazaa haya, lakini kwa watu wanyenyekevu kuna hekima.

Gade chapit la Kopi




Mezali 11:2
10 Referans Kwoze  

Kiburi cha mutu kinamuzaraulisha mwenyewe, lakini munyenyekevu wa roho atapata heshima.


Kumwogopa Yawe ni mafundisho ya hekima; mbele ya kuheshimika inafaa kuwa munyenyekevu.


Yesu akaongeza kusema: “Ninawaambia kwamba mutu huyu alirudia kwake akiwa amehesabiwa kuwa na haki mbele ya Mungu, lakini si yule Mufarisayo. Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


Majivuno ya ndani ya moyo yanaleta maangamizi, lakini unyenyekevu unaleta heshima.


Basi, akasema kwa sauti: Angalia Babeli, muji mukubwa nilioujenga kwa nguvu zangu ukuwe makao yangu ya kifalme na kwa ajili ya utukufu wangu!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite