Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 11:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mizani danganyifu ni chukizo kwa Yawe, lakini matumizi ya vipimo vya haki ni furaha kwake.

Gade chapit la Kopi




Mezali 11:1
10 Referans Kwoze  

Mizani na vipimo vya kweli ni vya Yawe. Mawe yote ya kupimia katika mufuko ni kazi yake.


Mizani danganyifu ni chukizo kwa Yawe, na vipimo visivyokuwa vya haki ni kitu kibaya.


Mizani danganyifu na vipimo danganyifu, vyote ni chukizo kwa Yawe.


Lakini ninyi mumurudilie Mungu wenu. Mushikamane na wema na haki, mumutumainie Mungu wenu siku zote.


Efuraimu ni sawa na muchuuzi anayetumia vipimo vya udanganyifu, anayependa kudanganya watu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite