Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 10:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mwenye haki anakumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahauliwa kabisa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 10:7
20 Referans Kwoze  

Hatashindwa hata kidogo; atakumbukwa milele.


kwa maana ameniangalia kwa huruma, mimi mujakazi wake munyenyekevu. Tangu sasa watu wote wataniita mwenye heri,


Kweli ninawaambia: kwa ajili ya kukumbuka mwanamuke huyu, tendo lile alilofanya litaelezwa popote Habari Njema itakapohubiriwa katika dunia nzima.”


Wazao wake wote wakufe; jina lake lisahauliwe katika kizazi kinachokuja!


Wakamuzika katika muji wa Daudi, kwenye makaburi ya wafalme kwa kuonyesha heshima yao kwake kwa sababu alifanya mema katika Israeli na mbele ya Mungu na nyumba yake.


Yawe akumbuke zambi zao siku zote; lakini wao wenyewe wasahauliwe katika dunia.


Katika inchi hakuna atakayemukumbuka; jina lake halitatamkwa tena katika barabara.


Kweli, kwa ajili ya heshima yangu mimi na kwa ajili ya mutumishi wangu Daudi, nitaulinda na kuukoa muji huu.”


Huyo mwana wa Solomono nitamwachia kabila moja, kusudi wakati wote mutu mumoja wa uzao wa mutumishi wangu Daudi akuwe anatawala Yerusalema, akuwe taa inayoangaza siku zote mbele yangu katika muji ambao nimeuchagua ukuwe pahali pa kuniabudia.


Tena, nimeona waovu wakizikwa, watu ambao walizoea kuingia na kutoka pahali patakatifu, na kusifiwa katika muji uleule walimotenda maovu yao. Hayo nayo ni bure.


Upepo unamupigia vigelegele anapokimbia, na kumuzomea toka pahali pake.


Ee Yawe, tumaini la Waisraeli, wote wanaokukataa wafezeheshwe. Wanaokuacha wewe watatoweka, kama majina yaliyoandikwa chini katika mavumbi, kwa maana wamekuacha wewe Yawe, unayekuwa chemichemi ya maji ya uzima.


Hezekia akakufa na kuzikwa kwenye sehemu ya juu ya makaburi ya wafalme. Watu wote wa inchi ya Yuda na wakaaji wa Yerusalema wakamutolea heshima kubwa wakati wa kifo chake, naye Manase, mwana wake, akatawala pahali pake.


Maana muzazi wao anawasahau watu hao, hakuna atakayewakumbuka tena. Ndivyo uovu ulivyovunjika kama muti.


Yawe anawaangalia watu wa haki, na kusikiliza malalamiko yao;


Afazali kuwa na sifa nzuri kuliko mali mengi. Kupata kukubaliwa ni bora kuliko feza au zahabu.


Nitaushambulia muji wa Babeli na kuuangamiza kabisa. –Ni ujumbe wa Yawe wa majeshi.– Nitaharibu kila kitu, muji wote, watoto na yeyote aliyebaki muzima. –Ni ujumbe wa Yawe.–


lakini anawapinga watu wanaotenda maovu, kusudi afute majina yao kutoka katika dunia.


Nami nilisema: “Unirehemu, ee Yawe, uniponyeshe, maana nimekukosea.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite