Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 10:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Yawe hawaachi wenye haki wapate njaa, lakini anapinga tamaa za waovu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 10:3
23 Referans Kwoze  

Nilikuwa kijana na sasa mimi ni muzee; hata kidogo sijaona mutu wa haki ameachwa na Mungu, au watoto wake wakiombaomba chakula.


Umutumainie Yawe na kutenda mazuri, upate kuishi katika inchi na kuwa salama.


Feza yao wala zahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya kasirani ya Yawe. Kwa moto wa wivu wake dunia yote itateketezwa. Kwa ukamilifu na kwa namna ya kuogopesha atawafanya wakaaji wote katika dunia watoweke.


Hawatafezeheka nyakati mbaya zikiwafikia; siku za njaa watakuwa na chakula tele.


Yeye anawaokoa katika kifo, anawalinda wakati wa njaa.


Atakuepusha toka kifo wakati wa njaa, toka mapigo ya upanga wakati wa vita.


Hivi ninyi mutafute Ufalme wake, naye atawaongezea vitu hivi vyote.


Mutu wa namna hiyo anaishi kwenye nafasi ya juu, pahali salama, penye pango na mawe makubwa; atapewa chakula chake siku zote, na maji yake ya kunywa hayatakosekana.


Mwovu anaangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwenye haki atapata usalama kwa uaminifu wake.


Watu waovu wanaona hayo na kuuzika. Wanasaga meno kwa chuki na kutoweka. Matumaini ya mutu mubaya yanapotea bure.


Mali zake zitanyanganywa katika siku ya kasirani ya Mungu.


Lakini wewe unawaona wenye taabu na shida; nawe uko tayari kuwasaidia siku zote. Muzaifu anakutegemea wewe, ee Mungu, wewe umekuwa siku zote musaada wa yatima.


Mwenye haki yuko na chakula cha kumutoshelea, lakini tumbo la waovu linataabika kwa njaa.


Anayekataa kuisikia sheria, yule, hata maombi yake, ni chukizo kwa Mungu.


Muchoyo anachochea magomvi, lakini anayetegemea Yawe atafanikiwa.


Anatangatanga kutafuta chakula, akisema: “Kiko wapi?” Anajua kwamba siku ya giza inamukaribia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite