23 Kwa mupumbafu, kutenda maovu ni kama muchezo, lakini watu wenye akili wanafurahia hekima.
Upumbafu ni furaha kwa mutu asiyekuwa na akili, lakini mwenye akili anachagua njia inayokuwa sawa.
Wapumbafu wanafurahia zambi, lakini watu wa usawa wanapata rehema kwa Mungu.
watu wanaofurahia kutenda maovu na kupendezwa na upotovu wa maovu,
Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako ukuwe na raha wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako na tamaa ya macho yako. Lakini kumbuka kwamba Mungu atakuhukumu kadiri ya hayo yote.
Mwenye hekima ndani ya moyo anaitwa mwenye akili; neno la kupendeza linawavuta watu.