Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 10:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Anayemuchukia mwingine kwa siri ni munafiki. Anayemusingizia mutu ni mupumbafu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 10:18
18 Referans Kwoze  

Mwenzangu amemushambulia rafiki yake, amevunja mapatano yake.


Abeneri aliporudi Hebroni, Yoabu alimupeleka pembeni kwenye mulango sawa vile anataka kuzungumuza naye kwa siri. Hapo Yoabu akamukata Abeneri katika tumbo kwa sababu Abeneri alikuwa amemwua ndugu yake Asaeli, na Abeneri akakufa.


Nitateketeza yule anayemuteta mwenzake, sitamuvumilia mwenye majivuno na kiburi.


Unaikaa kitako kumuteta mwanadamu mwenzako, unamuchongea ndugu yako wa tumbo.


Unisaidie, ee Yawe! Watu wema wamekwisha; waaminifu wametoweka kati ya watu.


Ee Yawe, katika haki yako, uisawanishe njia yako mbele yangu. Uniongoze kwa sababu ya waadui zangu.


alizidi kumwogopa Daudi. Saulo akakuwa adui wa Daudi siku zote.


Usitoe habari za uongo. Usishirikiane na mutu mwovu kwa kuwa mushuhuda mubaya.


Kila mutu anadanganya jirani yake, hakuna hata mumoja anayesema ukweli. Wamezifundisha ndimi zao kusema uongo; anatenda uovu kwa kadiri ya kushindwa kabisa kunigeukia.


Usipitepite hata kidogo ukiwachongea watu wa jamaa yako. Usitie maisha ya mwenzako katika hatari ya kifo kwa maneno yako. Mimi ni Yawe.


Wote ni waasi na wagumu, ni watu wanaopitapita wakisengenya wengine, ni wagumu kama shaba au chuma. Wote wanatenda mabaya.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite