Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 10:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Mushahara wa mutu wa haki ni uzima, lakini mapato ya mwovu ni katika zambi.

Gade chapit la Kopi




Mezali 10:16
14 Referans Kwoze  

Kwa maana Mungu ni mwenye haki. Yeye hatasahau kazi yenu na upendo mulioonyesha kwa ajili yake kwa namna mulivyowasaidia watu wake na munavyoendelea kuwasaidia.


Kwa maana mushahara wa zambi ni kifo, lakini zawadi Mungu anayotoa ni uzima wa milele kwa kuungana na Yesu Kristo, Bwana wetu.


Musitumikie chakula kinachoharibika, lakini mutumikie chakula kinachodumu na kuleta uzima wa milele. Mwana wa Mutu atawapa ninyi chakula hiki, kwa sababu Mungu Baba ametoa uhakikisho juu yake.”


Basi wandugu zangu wapenzi, musimame imara bila kutikisika. Muendelee kumutumikia Bwana siku zote, mukijua kwamba masumbuko munayopata kwa ajili ya Bwana hayatapita bure.


Tunda la mwenye haki ni muti wa uzima, na mwenye hekima anavuta watu.


Lakini watu waovu na wadanganyifu wataendelea katika maovu, wakipotosha watu wengine na kujipotosha wenyewe.


Kwa maana ndani ya moyo munatoka mawazo mabaya yanayoleta uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uongo na matukano.


Anayetafuta haki na wema atapata uzima, haki, na heshima.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite