Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 10:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Katika kinywa cha mwenye ufahamu kuna hekima, lakini wasiokuwa na akili watapigwa fimbo katika mugongo.

Gade chapit la Kopi




Mezali 10:13
18 Referans Kwoze  

Kiboko ni kwa farasi, lijamu ni kwa punda, na fimbo ni kwa mugongo wa mupumbafu.


Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.


Bwana wetu Yawe amenifundisha jinsi ya kusema, kusudi niwatie moyo wale waliochoka. Kila asubui ananipa hamu ya kusikiliza mambo anayotaka kunifundisha.


Hata kama ukitwanga mupumbafu katika kinu, sawa na ngano, hautaweza kumutenganisha na upumbafu wake.


Kuna zahabu na wingi wa mawe ya bei kali; lakini kitu cha bei kali zaidi ni maneno ya maarifa!


Azabu iko tayari kwa wenye kuzarau, na mapigo kwa migongo ya wapumbafu.


Onyo kwa mwenye akili lina maana, kuliko mapigo mia moja kwa mupumbafu.


Kutoa jibu zuri kunafurahisha; neno linalofaa kwa wakati wake ni jema sana!


Mudomo wa mwenye hekima unaeneza maarifa, lakini sivyo kwa mioyo ya wapumbafu.


Kinywa cha mwenye haki kinatoa mambo ya hekima, lakini ulimi wa mutu mubaya utakatwa mbali.


Maneno ya mwenye haki yanawafalia watu wengi, lakini wapumbafu wanakufa kwa kukosa akili.


Usikuwe mupumbafu kama farasi au nyumbu, ambao lazima wafungwe kamba ndani ya kinywa, kama sivyo hawatakukaribia.”


Nao wote wakamufurahia na kushangaa na maneno mazuri aliyosema. Wakasema: “Huyu si mwana wa Yosefu?”


Naye akamufuata yule mwanamuke moja kwa moja, kama ngombe anayekwenda kuchinjwa, kama mupambafu anayefungwa na kwenda kuazibiwa.


Yawe akamwambia Musa: “Nyoosha mukono wako juu ya inchi ya Misri, nzige watokee kusudi waingie na kula mimea yote katika inchi na vyote vilivyoachwa na ile mvua ya mawe.”


Mutu wa haki anasema maneno ya hekima, kwa ulimi wake anasema kufuatana na sheria ya Mungu.


Mwenye hekima ndani ya moyo anaitwa mwenye akili; neno la kupendeza linawavuta watu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite