Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 10:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Anayekonyeza macho kwa nia mbaya analeta taabu, lakini anayeonya waziwazi analeta amani.

Gade chapit la Kopi




Mezali 10:10
9 Referans Kwoze  

Usiwaache waadui hao wabaya wanisimange, hao wanaonichukia bure, wafurahie mateso yangu.


Anakonyeza jicho kwa kuwakosesha wengine, anaparuza kwa miguu na kufanyia watu kitambulisho kwa vidole.


Kwa sababu hiyo wakati nitakapokuja, nitaonyesha wazi mambo yote anayotenda akitusingizia sisi maneno mabaya. Lakini hatosheki na mambo yale, yeye mwenyewe anakataa kukaribisha wandugu wale wanaokuwa katika safari. Na wale wanaotaka kuwakaribisha, anawakataza na kuwafukuza katika kanisa.


Mwenye hekima anakubali maonyo, lakini mupumbafu anayesemasema mingi ataangamia.


Ulimi una nguvu ya kuleta uzima na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.


Mbona moyo unakusukuma kukasirika na kutoa macho makali,


Wenye hekima wanalinda maarifa, lakini kusemasema kwa mupumbafu kunaleta maangamizi haraka.


Anayekonyeza jicho amepanga kutenda maovu; anayekaza midomo amekwisha kutenda mabaya.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite