Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Zitawaerevusha wajinga, zitawapa vijana maarifa na akili.

Gade chapit la Kopi




Mezali 1:4
19 Referans Kwoze  

Enyi wajinga, mujifunze kuwa na akili; musikilize kwa uangalifu, enyi wapumbafu.


Ninawapenda wale wanaonipenda; wanaonitafuta kwa bidii wananipata.


Namna gani kijana ataweza kujichunga katika njia safi? Ni kwa kufuatilia neno lako.


“Sasa basi, wana wangu, munisikilize: heri wale wanaofuata njia zangu.


Mimi Hekima nina ujuzi; nina maarifa na akili.


Maelezo ya mafundisho yako yanaleta mwangaza; yanawapa akili wajinga.


Vilevile uwaonye vijana wanaume wakuwe wenye utaratibu katika mambo yote.


Ujiepushe na tamaa za ujana, utafute kuishi katika haki, imani, upendo na amani pamoja na watu wote wanaomwabudu Bwana kwa moyo safi.


Humo kutakuwa barabara kubwa, nayo itaitwa Njia Takatifu. Watu wachafu hawatapitia humo, lakini wale watu wa Mungu tu; wapumbafu hawatakanyaga ndani yake,


Mwana wangu, shika hekima safi na akili; usiviache vitoweke mbele ya macho yako,


Hata simba wakali wanakosewa na kusikia njaa, lakini wanaomutafuta Yawe hawakosewi chochote kizuri.


Linatokea kwa upande mumoja, na kuzunguka mpaka upande mwingine; hakuna kinachoweza kuepuka joto lake.


Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako ukuwe na raha wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako na tamaa ya macho yako. Lakini kumbuka kwamba Mungu atakuhukumu kadiri ya hayo yote.


Yawe anawalinda wajinga; nilipokuwa nimegandamizwa aliniokoa.


Mushike na kutimiza masharti na maagizo hayo maana mukifanya hivyo watu wa mataifa mengine watakapopata kujua masharti hayo, watatambua kwamba ninyi ni wenye hekima na akili. Watasema hivi: ‘Kweli watu wa taifa hili kubwa wana hekima na akili!’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite