Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 1:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 mulikataa shauri langu, mukazarau maonyo yangu yote.

Gade chapit la Kopi




Mezali 1:30
9 Referans Kwoze  

mumetupilia mashauri yangu yote, mumezarau maonyo yangu.


Mimi ni Yawe, Mungu wako, niliyekutoa katika inchi ya Misri. Fungua kinywa chako, nami nitakulisha.


Wenye hekima kati yenu wanafezeheka, watahangaishwa na kunaswa. Wamelikataa neno la Yawe. Basi ni hekima gani wanayokuwa nayo?


Ukuwe siku zote tayari kunisaidia, maana nimeamua kufuata kanuni zako.


Maagizo yako ni urizi mukubwa kwangu milele; hayo ni furaha ya moyo wangu.


Yehudi alipokuwa amekwisha kusoma vipindi vitatu au vine hivi vya kitabu kile, mufalme alivikatakata kwa kisu na kuvitupa katika moto wa makaa. Aliendelea kufanya hivyo mpaka kitabu chote kikateketezwa.


Na alipokuwa angali akisema naye, Amazia akamwambia: “Nyamaza! Tulikufanya wewe kuwa mushauri wa mufalme? Kwa nini uawe?” Nabii akanyamaza, lakini akasema: “Ninafahamu kwamba Mungu ameamua kukuangamiza kwa maana umetenda haya yote, kisha unazarau shauri langu.”


Kwa hiyo utasema: “Kwa nini nilichukia mafundisho? Kwa nini nilizarau ndani ya moyo wangu?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite