Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 1:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26-27 Kwa sababu hiyo, woga utakapowapata kama zoruba, hasara yenu itakapowatokea kama upepo mukali, taabu na huzuni vitakapowapata, nitachekelea hasara yenu na kuwasimanga.

Gade chapit la Kopi




Mezali 1:26
11 Referans Kwoze  

Lakini Yawe anamuchekelea mwovu, kwa maana anajua mwisho wake ni karibu.


Yule anayetawala juu mbinguni anawachekelea na kuwazarau.


Kitu mutu mwovu anachoogopa ndicho kitakachomupata, lakini kitu mwenye haki anachotamani ndicho atakachopewa.


Kwa maana ninawaambia kwamba kati ya wale niliokuwa nimewaalika, hakuna hata mumoja wao atakayeonja vyakula vya karamu yangu.’ ”


Kutokana na hayo hasara itamupata kwa rafla; kwa rafla atapondekana vibaya wala hatapata kupona.


Muende muililie hiyo miungu muliyoichagua. Muache hiyo iwakomboe katika taabu zenu!”


Kama vile Yawe alivyopendezwa kuwafanikisha na kuwafanya kuwa wengi, ni vile vile Yawe atapendezwa kuwaletea hasara na kuwaangamiza. Nanyi mutaondolewa katika inchi hiyo ambayo munakwenda kuirizi.


Angalia, ni matusi tu yanayotoka katika midomo yao, maneno yao ni kama panga kali; tena wanafikiri hakuna anayewasikia.


Yeye anazarau wenye mazarau, lakini anakubali wanyenyekevu.


Mutu anasifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mwenye moyo wa mafikiri mabaya anazaruliwa.


Azabu iko tayari kwa wenye kuzarau, na mapigo kwa migongo ya wapumbafu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite