Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 1:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 mumetupilia mashauri yangu yote, mumezarau maonyo yangu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 1:25
13 Referans Kwoze  

Lakini Wafarisayo na walimu wakubwa wa Sheria walikataa mupango wa Mungu juu yao, na kukataa kubatizwa na Yoane.)


Mimi ni Yawe, Mungu wako, niliyekutoa katika inchi ya Misri. Fungua kinywa chako, nami nitakulisha.


Anayependa mafundisho anapenda maarifa, lakini asiyependa kuonywa ni mujinga.


mulikataa shauri langu, mukazarau maonyo yangu yote.


Kwa hiyo utasema: “Kwa nini nilichukia mafundisho? Kwa nini nilizarau ndani ya moyo wangu?


kwa sababu waliasi maagizo ya Mungu, na kuzarau mashauri ya Mungu Mukubwa.


Lakini wao waliendelea kuwachekelea wajumbe wa Mungu, wakayazarau maneno yake na kuwachekelea manabii wake mpaka kwa mwisho kasirani ya Yawe ikawaka juu ya watu wake hata hakukukuwa wa kuwaponyesha.


Wakati huo, ninyi mutalalamika kwa sababu ya mufalme wenu ambaye mumejichagulia ninyi wenyewe. Lakini Yawe hatawajibu.”


Nina uwezo wa kushauri na kuamua vizuri. Nina ufahamu na nina nguvu.


Azabu kali ni kwa wanaoacha mwenendo mwema; yeyote anayechukia kuonywa atakufa.


Kwa hiyo, Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli anasema hivi: Ninawaletea Wayuda na wakaaji wote wa Yerusalema hasara zote nilizosema juu yao, kwa sababu mimi nilisema nao, lakini hawakunisikiliza; niliwaita, lakini hawakuniitikia.


Ndipo muliporudi, mukamulilia Yawe, lakini hakuwasikiliza wala hakuwajali.


Yawe akamwonya Manase na watu wake, lakini hawakumusikia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite