Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 1:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Zitawawezesha watu kujua hekima na mafundisho, na kufahamu misemo yenye maana kubwa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 1:2
13 Referans Kwoze  

Uambie Hekima: “Wewe ni dada yangu”, na Akili: “Wewe ni rafiki yangu”.


Kwa nini mupumbafu kuwa na feza katika mukono kwa kununua hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?


Enyi wajinga, mujifunze kuwa na akili; musikilize kwa uangalifu, enyi wapumbafu.


Kupata hekima ni bora kuliko zahabu; kupata akili ni chaguo bora kuliko feza.


Wana wangu, musikilize maadibisho ya baba yenu, mutege sikio mupate kuwa na akili.


Kumwogopa Yawe ni mafundisho ya hekima; mbele ya kuheshimika inafaa kuwa munyenyekevu.


Ukinisikiliza, utafahamu haki, usawa, na kufuata sheria ya Mungu; utafahamu kila njia nzuri.


Musikilize mafundisho mupate hekima, wala musiyakatae.


Sikiliza shauri na kupokea mafundisho, upate hekima ya kukufaa kwa siku zinazokuja.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite