Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 1:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Maana wao wako mbio kutenda maovu, haraka zao zote ni za kumwanga damu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 1:16
9 Referans Kwoze  

Muko mbio kutenda maovu, muko wepesi kumwanga damu isiyokuwa na kosa. Mawazo yenu ni mawazo ya uovu, popote munapokwenda munaacha ukiwa na uharibifu.


moyo unaopanga mipango miovu, miguu inayokuwa mbio kutenda maovu,


Waovu hawalali hata kidogo wasipotenda uovu; hawapati usingizi wasipomukwaza mutu.


Lakini ikiwa kwa njia ya ubaya tunaofanya, Mungu anaonekana kuwa mwenye haki, basi tutasema kama Mungu hana haki wakati anapotuazibu? (Ninasema kwa mafikiri ya kimutu.)


Saulo alijaribu kumuchoma Daudi kwa mukuki ule. Lakini Daudi aliepa mukuki wa Saulo na mukuki ukapiga ukuta. Daudi akakimbia na kutoroka.


Mutego unaotegwa na ndege akiona, mutego ule unategwa bure.


Macho ya kiburi, ulimi mudanganyifu, mikono inayoua wasiokuwa na kosa,


Maneno ya waovu shabaha yake ni kuua, lakini kinywa cha mutu wa usawa kinaokoa.


Basi, tumwue na kumutupa ndani ya shimo moja. Kisha tutasema kwamba ameuawa na nyama wa pori. Halafu tutaona hizo ndoto zake zitakuwa namna gani.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite